Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Nawe utafuma kanzu ya kitani bora yenye mirabamiraba na kufanya kilemba cha kitani bora,+ nawe utafanya ukumbuu,+ kazi ya mfumaji.

  • Mambo ya Walawi 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baada ya hayo akamvika kanzu+ na kumfunga ukumbuu+ na kumvika lile koti lisilo na mikono+ na kumvika efodi+ na kumfunga kwa mshipi+ wa ile efodi na kuufunga imara kwa mshipi huo.

  • Mambo ya Walawi 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Halafu Musa akawaleta karibu wana wa Haruni+ na kuwavika kanzu na kuwafunga ukumbuu+ na kuwafunga valio la kichwani,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • Ufunuo 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndiyo, amepewa ruhusa ya kupambwa kitani bora, changavu, safi, kwa maana hicho kitani bora humaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki