7 Baada ya hayo akamvika kanzu+ na kumfunga ukumbuu+ na kumvika lile koti lisilo na mikono+ na kumvika efodi+ na kumfunga kwa mshipi+ wa ile efodi na kuufunga imara kwa mshipi huo.
13 Halafu Musa akawaleta karibu wana wa Haruni+ na kuwavika kanzu na kuwafunga ukumbuu+ na kuwafunga valio la kichwani,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.