1 Mambo ya Nyakati 16:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake,+Chukueni zawadi na mwingie mbele zake.+Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+ Zaburi 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake.+Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+ Zaburi 96:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu;+Iweni na maumivu makali kwa sababu yake, enyi nyote watu wa dunia.+
29 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake,+Chukueni zawadi na mwingie mbele zake.+Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+
9 Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu;+Iweni na maumivu makali kwa sababu yake, enyi nyote watu wa dunia.+