Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na kumwambia: “Je, unasikia mambo ambayo hawa wanasema?” Yesu akawaambia: “Ndiyo. Je, ninyi hamkusoma hili kamwe,+ ‘Kutoka katika kinywa cha watoto na wanaonyonya umetoa sifa’?”+

  • Luka 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Katika saa ileile akawa na shangwe+ sana katika roho takatifu, akasema: “Ninakusifu hadharani wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha kwa uangalifu wenye hekima+ na walio na akili mambo hayo, nawe umeyafunua kwa watoto. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu kufanya hivyo kulikuja kuwa njia inayokubaliwa na wewe.

  • Matendo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Sasa walipoona maneno ya waziwazi ya Petro na Yohana, na kufahamu kwamba walikuwa watu wasio na elimu na wa kawaida tu,+ wakaanza kustaajabu. Nao wakaanza kutambua juu yao kwamba walikuwa pamoja na Yesu;+

  • 1 Wakorintho 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki