-
Luka 10:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Katika saa ileile akawa na shangwe+ sana katika roho takatifu, akasema: “Ninakusifu hadharani wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha kwa uangalifu wenye hekima+ na walio na akili mambo hayo, nawe umeyafunua kwa watoto. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu kufanya hivyo kulikuja kuwa njia inayokubaliwa na wewe.
-