-
Mathayo 21:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 na kumwambia: “Je, wasikia yale wanayosema hawa?” Yesu akawaambia: “Ndiyo. Je, nyinyi hamkusoma kamwe hili, ‘Kutoka kinywani mwa vitoto na watoto wanyonyao umetoa sifa’?”
-