Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Saa ileile akawa na shangwe kubwa kupitia roho takatifu na kusema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha kwa uangalifu mambo haya wenye hekima na wenye akili+ nawe umeyafunua kwa watoto wadogo. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu umekubali iwe hivyo.+

  • Luka 10:21
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 21 Katika saa hiyohiyo yeye akawa mwenye shangwe mno katika roho takatifu akasema: “Nakusifu hadharani wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeficha mambo hayo kwa uangalifu kutoka kwa wenye hekima na walio na akili, nawe umeyafunua kwa vitoto. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu kufanya hivyo kulikuja kuwa ndiyo njia ikubaliwayo na wewe.

  • Luka
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 10:21 w06 4/1 5; w02 1/1 9

  • Luka
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 10:21

      Mnara wa Mlinzi (Funzo),

      2/2023, uku. 5

      Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

      Na. 1 2017 kur. 14-15

      Mnara wa Mlinzi,

      3/15/2015, kur. 7-8

      4/1/2006, uku. 5

      1/1/2002, uku. 9

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki