-
Luka 10:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Katika saa hiyohiyo yeye akawa mwenye shangwe mno katika roho takatifu akasema: “Nakusifu hadharani wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeficha mambo hayo kwa uangalifu kutoka kwa wenye hekima na walio na akili, nawe umeyafunua kwa vitoto. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu kufanya hivyo kulikuja kuwa ndiyo njia ikubaliwayo na wewe.
-