-
Luka 10:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Katika saa ileile akawa na shangwe+ sana katika roho takatifu, akasema: “Ninakusifu hadharani wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha kwa uangalifu wenye hekima+ na walio na akili mambo hayo, nawe umeyafunua kwa watoto. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu kufanya hivyo kulikuja kuwa njia inayokubaliwa na wewe.
-
-
Luka 10:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Katika saa hiyohiyo yeye akawa mwenye shangwe mno katika roho takatifu akasema: “Nakusifu hadharani wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeficha mambo hayo kwa uangalifu kutoka kwa wenye hekima na walio na akili, nawe umeyafunua kwa vitoto. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu kufanya hivyo kulikuja kuwa ndiyo njia ikubaliwayo na wewe.
-