1 Wakorintho 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima, nami nitaikataa* akili ya watu wenye akili.”+ 1 Wakorintho 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi tunazungumza kuhusu hekima kati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima ya mfumo huu wa mambo* wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo, ambao watapitilia mbali.+
19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima, nami nitaikataa* akili ya watu wenye akili.”+
6 Basi tunazungumza kuhusu hekima kati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima ya mfumo huu wa mambo* wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo, ambao watapitilia mbali.+