20 Akina ndugu, msiwe watoto wadogo katika uelewaji wenu,+ lakini iweni watoto wadogo kuhusiana na ubaya;+ nanyi muwe watu wazima katika uelewaji wenu.+
13 mpaka sote tuwe na umoja* katika imani na tuwe na ujuzi sahihi kumhusu Mwana wa Mungu, na kuwa mtu aliyekomaa kabisa,+ na kufikia kiwango cha kimo kamili cha Kristo.
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, ambao wamezoeza nguvu zao za utambuzi* kwa kuzitumia ili kutofautisha mambo yaliyo sawa na mambo yasiyo sawa.