Mathayo 11:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo Yesu akasema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu nawe umeyafunua kwa watoto wadogo.+ 26 Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu umekubali iwe hivyo.
25 Ndipo Yesu akasema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu nawe umeyafunua kwa watoto wadogo.+ 26 Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu umekubali iwe hivyo.