Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+

      Maajabu juu ya maajabu;

      Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,

      Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+

  • Mathayo 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana mioyo ya watu hawa imekuwa migumu, nao wamesikia kwa masikio yao bila kuitikia, nao wamefunga macho yao, ili wasione kamwe kwa macho yao na kusikia kwa masikio yao na kuelewa kwa mioyo yao, kisha wageuke nami niwaponye.’+

  • Luka 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Saa ileile akawa na shangwe kubwa kupitia roho takatifu na kusema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha kwa uangalifu mambo haya wenye hekima na wenye akili+ nawe umeyafunua kwa watoto wadogo. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu umekubali iwe hivyo.+

  • 1 Wakorintho 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki