Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ndipo akasema, “Nenda, uwaambie hivi watu hawa:

      ‘Mtasikia tena na tena,

      Lakini hamtaelewa;

      Mtaona tena na tena,

      Lakini hamtapata ujuzi wowote.’+

      10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+

      Yafanye masikio yao yawe mazito,+

      Na uyafunge kabisa macho yao,

      Ili wasione kwa macho yao

      Na wasisikie kwa masikio yao,

      Ili moyo wao usielewe

      Nao wasigeuke na kuponywa.”

  • Marko 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili, ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasikie lakini wasielewe; wala wasigeuke na kusamehewa.”+

  • Matendo 28:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa uwaambie: “Kwa kweli mtasikia lakini hamtaelewa kamwe, na kwa kweli mtatazama, lakini hamtaona kamwe.+ 27 Kwa maana mioyo ya watu hawa imekuwa migumu, nao wamesikia kwa masikio yao bila kuitikia, nao wamefunga macho yao, ili wasione kamwe kwa macho yao na kusikia kwa masikio yao na kuelewa kwa mioyo yao, nao wageuke nami niwaponye.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki