-
Isaya 6:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Ndipo akasema, “Nenda, uwaambie hivi watu hawa:
-
-
Mathayo 13:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Na unabii wa Isaya unatimia kwao unaosema: ‘Kwa kweli mtasikia lakini hamtaelewa, nanyi kwa kweli mtatazama lakini hamtaona.+ 15 Kwa maana mioyo ya watu hawa imekuwa migumu, nao wamesikia kwa masikio yao bila kuitikia, nao wamefunga macho yao, ili wasione kamwe kwa macho yao na kusikia kwa masikio yao na kuelewa kwa mioyo yao, kisha wageuke nami niwaponye.’+
-