Yohana 12:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu, ili wasione kwa macho yao na kuelewa kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+ Waroma 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho yasiyoona na masikio yasiyosikia, mpaka leo hii.”+ 2 Wakorintho 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini akili zao zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo kitambaa kilekile kinadumu bila kuondolewa agano la zamani linaposomwa,+ kwa sababu kinaondolewa tu kupitia Kristo.+
40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu, ili wasione kwa macho yao na kuelewa kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+
8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho yasiyoona na masikio yasiyosikia, mpaka leo hii.”+
14 Lakini akili zao zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo kitambaa kilekile kinadumu bila kuondolewa agano la zamani linaposomwa,+ kwa sababu kinaondolewa tu kupitia Kristo.+