Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ndipo akasema, “Nenda, uwaambie hivi watu hawa:

      ‘Mtasikia tena na tena,

      Lakini hamtaelewa;

      Mtaona tena na tena,

      Lakini hamtapata ujuzi wowote.’+

      10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+

      Yafanye masikio yao yawe mazito,+

      Na uyafunge kabisa macho yao,

      Ili wasione kwa macho yao

      Na wasisikie kwa masikio yao,

      Ili moyo wao usielewe

      Nao wasigeuke na kuponywa.”

  • Mathayo 13:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndiyo maana ninazungumza nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi.+ 14 Na unabii wa Isaya unatimia kwao unaosema: ‘Kwa kweli mtasikia lakini hamtaelewa, nanyi kwa kweli mtatazama lakini hamtaona.+

  • Yohana 12:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu, ili wasione kwa macho yao na kuelewa kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+

  • Matendo 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa uwaambie: “Kwa kweli mtasikia lakini hamtaelewa kamwe, na kwa kweli mtatazama, lakini hamtaona kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki