Isaya 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+Yafanye masikio yao yawe mazito,+Na uyafunge kabisa macho yao,Ili wasione kwa macho yaoNa wasisikie kwa masikio yao,Ili moyo wao usieleweNao wasigeuke na kuponywa.” Marko 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ili, ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasikie lakini wasielewe; wala wasigeuke na kusamehewa.”+
10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+Yafanye masikio yao yawe mazito,+Na uyafunge kabisa macho yao,Ili wasione kwa macho yaoNa wasisikie kwa masikio yao,Ili moyo wao usieleweNao wasigeuke na kuponywa.”
12 ili, ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasikie lakini wasielewe; wala wasigeuke na kusamehewa.”+