Kumbukumbu la Torati 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana wao ni taifa ambalo juu yake shauri huangamia,+Na katikati yao hamna uelewaji.+ Isaya 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+ Marko 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akijua hilo, akawaambia: “Kwa nini mnabishana kwa sababu hamna mikate?+ Je, bado hamjaelewa wala kupata maana? Je, mioyo yenu ni mizito isiweze kuelewa?+ Waebrania 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kumhusu yeye sisi tuna mengi ya kusema na yaliyo magumu kufafanuliwa, kwa kuwa mmekuwa wazito katika kusikia kwenu.+
18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+
17 Akijua hilo, akawaambia: “Kwa nini mnabishana kwa sababu hamna mikate?+ Je, bado hamjaelewa wala kupata maana? Je, mioyo yenu ni mizito isiweze kuelewa?+
11 Kumhusu yeye sisi tuna mengi ya kusema na yaliyo magumu kufafanuliwa, kwa kuwa mmekuwa wazito katika kusikia kwenu.+