Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana wao ni taifa ambalo juu yake shauri huangamia,+

      Na katikati yao hamna uelewaji.+

  • Isaya 44:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+

  • Marko 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Akijua hilo, akawaambia: “Kwa nini mnabishana kwa sababu hamna mikate?+ Je, bado hamjaelewa wala kupata maana? Je, mioyo yenu ni mizito isiweze kuelewa?+

  • Waebrania 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kumhusu yeye sisi tuna mengi ya kusema na yaliyo magumu kufafanuliwa, kwa kuwa mmekuwa wazito katika kusikia kwenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki