16 akisema juu ya mambo hayo kama anavyosema pia katika barua zake zote. Hata hivyo, ndani ya hizo mna mambo fulani yaliyo magumu kuelewa, ambayo wale wasiofundishwa na wasio imara wanayapotosha, kama wanavyofanya na Maandiko+ mengine pia, kwa maangamizi yao wenyewe.