-
2 Petro 3:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 akisema juu ya mambo haya kama afanyavyo pia katika barua zake zote. Katika hizo, hata hivyo, mna mambo fulani magumu kuelewa, ambayo wale wasiofundishwa na wasio imara wanayapotoa, kama wafanyavyo na Maandiko mengine pia, kwa uangamizo wao wenyewe.
-