Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 125:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+

      Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+

      Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+

  • Waebrania 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana haiwezekani kamwe kwa habari ya wale ambao wametiwa nuru+ mara moja kwa wakati wote, na ambao wameonja zawadi ya bure+ ya kimbingu, na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu,+

  • 2 Petro 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana ingalikuwa afadhali kwao kama hawangalijua kwa usahihi njia ya uadilifu+ kuliko baada ya kuijua kwa usahihi kugeuka kutoka katika amri takatifu waliyopewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki