22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+
19 Kwa maana utii wenu umekuja kujulikana na wote.+ Kwa hiyo nashangilia juu yenu. Lakini nataka ninyi muwe wenye hekima+ kuhusu yaliyo mema, bali wasio na hatia+ kuhusu yaliyo maovu.+