Marko 9:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Yeyote yule anayempokea mmoja wa watoto wachanga kama huyu kwa msingi wa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anapokea, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma.”+ Yohana 12:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, Yesu akapaaza sauti na kusema: “Yule ambaye huniamini huamini, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma;+
37 “Yeyote yule anayempokea mmoja wa watoto wachanga kama huyu kwa msingi wa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anapokea, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma.”+
44 Hata hivyo, Yesu akapaaza sauti na kusema: “Yule ambaye huniamini huamini, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma;+