44 Huyo mtu aliyekuwa mfu akatoka miguu na mikono yake ikiwa imefungwa vitambaa,+ na uso wake ulikuwa umefungwa-fungwa kwa kitambaa. Yesu akawaambia: “Mfungueni, mmwache aende.”
35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.