2 Wafalme 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha Yehoashi mwana wa Yehoahazi akayachukua tena majiji ambayo Ben-hadadi mwana wa Hazaeli alikuwa ameyachukua vitani kutoka kwa Yehoahazi baba yake. Yehoashi alimshinda Ben-hadadi mara tatu,+ naye akayakomboa majiji ya Israeli.
25 Kisha Yehoashi mwana wa Yehoahazi akayachukua tena majiji ambayo Ben-hadadi mwana wa Hazaeli alikuwa ameyachukua vitani kutoka kwa Yehoahazi baba yake. Yehoashi alimshinda Ben-hadadi mara tatu,+ naye akayakomboa majiji ya Israeli.