5 lakini mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua kutoka katika makabila yenu yote ili kuliweka jina lake hapo, kulifanya likae, hapo ndipo mtapatafuta, nanyi mje hapo.+
29 ili macho yako yafunguliwe+ kuielekea nyumba hii usiku na mchana, kuelekea mahali ambapo ulisema hivi kupahusu, ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili kusikiliza sala ambayo mtumishi wako anatoa kuelekea mahali hapa.+
3 Na Yehova akaendelea kumwambia: “Nimeisikia sala+ yako na ombi lako la kutaka kibali ambalo uliomba kibali mbele zangu. Nimeitakasa+ nyumba hii ambayo umejenga kwa kuweka jina+ langu humo mpaka wakati usio na kipimo; na macho+ yangu na moyo wangu utakuwa humo sikuzote.+