25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+
24 nao wataanguka kwa makali ya upanga na watapelekwa mateka katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa+ za mataifa zitimie.