34 Na, kwa upande mwingine, kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli, ambaye amenizuia nisikudhuru wewe,+ kama hungelifanya haraka ili uje kunipokea,+ kufikia wakati wa nuru ya asubuhi hangelibaki kwa Nabali mtu yeyote anayekojoa ukutani.”+
11 Na ikawa kwamba wakati alipoanza kutawala, mara tu alipoketi katika kiti chake cha ufalme, akaipiga nyumba yote ya Baasha. Hakuacha abaki mtu yeyote wa kwake anayekojoa ukutani+ wala walipiza-kisasi wake wa damu+ wala rafiki zake.
8 Na nyumba yote ya Ahabu lazima iangamie; nami nitakatilia mbali kutoka kwa Ahabu+ mtu yeyote anayekojoa ukutani+ na yeyote asiye na uwezo na asiye na thamani+ katika Israeli.