Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini Balaamu akajibu na kuwaambia watumishi wa Balaki: “Hata kama Balaki angenipa nyumba yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova Mungu wangu, ili kufanya jambo dogo au kubwa.+

  • Esta 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo mfalme akamwambia: “Una nini, Ee Esta, malkia, na ombi lako ni nini?+ Hata nusu ya ufalme+—na upewe wewe!”

  • Esta 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi mfalme akamwambia Esta siku ya pili pia wakati wa karamu ya divai:+ “Ombi lako ni nini,+ Ee Esta, malkia? Na upewe hilo.+ Na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme+—na iwe hivyo!”

  • Marko 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndiyo, akamwapia: “Chochote utakachoniomba, nitakupa hicho,+ hata nusu ya ufalme wangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki