Esta 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mfalme akamuuliza tena Esta siku ya pili wakati wa karamu ya divai: “Malkia Esta, una ombi gani? Utapewa unachoomba. Unataka nini? Hata ukiomba nusu ya ufalme wangu utapewa!”+ Esta Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:2 w12 1/1 26 Esta Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:2 Igeni, uku. 140 Mnara wa Mlinzi,1/1/2012, uku. 26
2 Mfalme akamuuliza tena Esta siku ya pili wakati wa karamu ya divai: “Malkia Esta, una ombi gani? Utapewa unachoomba. Unataka nini? Hata ukiomba nusu ya ufalme wangu utapewa!”+