Esta 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya muda mfalme akamwambia Esta wakati wa karamu ya divai: “Ombi lako ni nini?+ Na upewe hilo! Hata nusu ya ufalme—na upewe wewe!” Esta 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi mfalme akamwambia Esta siku ya pili pia wakati wa karamu ya divai:+ “Ombi lako ni nini,+ Ee Esta, malkia? Na upewe hilo.+ Na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme+—na iwe hivyo!”
6 Baada ya muda mfalme akamwambia Esta wakati wa karamu ya divai: “Ombi lako ni nini?+ Na upewe hilo! Hata nusu ya ufalme—na upewe wewe!”
2 Basi mfalme akamwambia Esta siku ya pili pia wakati wa karamu ya divai:+ “Ombi lako ni nini,+ Ee Esta, malkia? Na upewe hilo.+ Na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme+—na iwe hivyo!”