Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe uchukue mkononi mwako mikate+ kumi na keki zilizonyunyiziwa kitu na chupa+ ya asali, nawe uingie kwake.+ Yeye ndiye atakayekuambia litakalompata mvulana huyu.”+

  • 2 Wafalme 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo akarudi kwa yule mtu wa Mungu wa kweli,+ yeye na kambi yake yote, akaenda, akasimama mbele yake na kusema: “Tazama, sasa, hakika ninajua kwamba hakuna Mungu yeyote mahali pengine popote duniani isipokuwa katika Israeli.+ Na sasa, tafadhali pokea zawadi ya kubariki+ kutoka kwa mtumishi wako.”

  • Yeremia 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na alipokuwa bado hajaamua kurudi, Nebuzaradani akasema: “Rudi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ambaye mfalme wa Babiloni amemweka juu ya majiji ya Yuda, nawe ukae pamoja naye katikati ya watu; au popote ambapo ni sawa machoni pako kwenda, nenda.”+

      Ndipo mkuu wa walinzi akampa posho ya chakula na zawadi na kumwacha aende zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki