2 Wafalme 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo mfalme akamwambia Hazaeli:+ “Chukua zawadi+ mkononi mwako, nenda umpokee yule mtu wa Mungu wa kweli, nawe uulize+ Yehova kupitia kwake, na kusema, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”
8 Kwa hiyo mfalme akamwambia Hazaeli:+ “Chukua zawadi+ mkononi mwako, nenda umpokee yule mtu wa Mungu wa kweli, nawe uulize+ Yehova kupitia kwake, na kusema, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”