Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini watu wa nchi wakawapiga na kuwaua wale wote waliompangia hila+ Mfalme Amoni. Kisha watu wa nchi wakamfanya Yosia+ mwana wake kuwa mfalme mahali pake.

  • 2 Wafalme 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka 8 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 31 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yedida binti ya Adaya kutoka Boskathi.+

  • 2 Wafalme 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na pia madhabahu iliyokuwa katika Betheli,+ mahali pa juu ambapo Yeroboamu+ mwana wa Nebati alitengeneza, ambaye alisababisha Israeli watende dhambi,+ hata akabomoa hiyo madhabahu na pale mahali pa juu. Kisha akapateketeza kwa moto mahali pa juu; akapasaga pakawa mavumbi na kuuteketeza kwa moto ule mti mtakatifu.

  • 2 Wafalme 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kisha Yosia akaondoa machukizo+ yote kutoka katika nchi zote za wana wa Israeli,+ naye akawafanya wote waliopatikana katika Israeli wachukue utumishi, wamtumikie Yehova Mungu wao. Siku zake zote hawakugeuka kando wasimfuate Yehova Mungu wa mababu zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki