Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo akaipaazia sauti ile madhabahu kwa neno la Yehova, akasema: “Ee madhabahu, madhabahu, Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Mwana aliyezaliwa katika nyumba ya Daudi, ambaye jina lake ni Yosia!+ Naye atawatoa juu yako wawe dhabihu wale makuhani wa mahali pa juu wanaofukiza moshi wa dhabihu juu yako, naye atateketeza mifupa ya watu juu yako.’”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Amoni+ mwana wake, Yosia+ mwana wake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka 8+ alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 31 katika Yerusalemu.+

  • Yeremia 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ambaye neno la Yehova lilimjia katika siku za Yosia+ mwana wa Amoni,+ mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wake.+

  • Sefania 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova lililomjia Sefania mwana wa Kushi mwana wa Gedalia mwana wa Amaria mwana wa Hezekia katika siku za Yosia+ mwana wa Amoni+ mfalme wa Yuda:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki