2 Mambo ya Nyakati 34:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka 8+ alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 31 katika Yerusalemu.+ Yeremia 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+
34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka 8+ alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 31 katika Yerusalemu.+
3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+