1 Wafalme 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo akaiweka maiti katika kaburi lake mwenyewe; nao wakaendelea kumwombolezea:+ “Ole wako, ndugu yangu!” 2 Wafalme 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo akasema: “Acheni apumzike.+ Yeyote asiisumbue mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na mifupa ya yule nabii+ aliyetoka katika Samaria.
30 Kwa hiyo akaiweka maiti katika kaburi lake mwenyewe; nao wakaendelea kumwombolezea:+ “Ole wako, ndugu yangu!”
18 Kwa hiyo akasema: “Acheni apumzike.+ Yeyote asiisumbue mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na mifupa ya yule nabii+ aliyetoka katika Samaria.