- 
	                        
            
            1 Wafalme 13:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
28 Halafu akaenda zake na kuikuta ile maiti imetupwa barabarani, punda na simba wakiwa wamesimama kando ya maiti hiyo. Simba hakuwa ameila maiti, wala hakuwa amemrarua punda.
 
 -