1 Wafalme 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 naye akaanza kumwambia kwa sauti yule mtu wa Mungu wa kweli aliyekuwa ametoka Yuda, na kusema: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu uliasi+ agizo la Yehova wala hukushika amri ambayo Yehova Mungu wako alikuamuru,+ Methali 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tazama! Mtu mwadilifu—katika dunia atapewa thawabu.+ Basi mwovu na mtenda-dhambi watapewa thawabu hata zaidi!+ Waebrania 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+
21 naye akaanza kumwambia kwa sauti yule mtu wa Mungu wa kweli aliyekuwa ametoka Yuda, na kusema: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu uliasi+ agizo la Yehova wala hukushika amri ambayo Yehova Mungu wako alikuamuru,+
31 Tazama! Mtu mwadilifu—katika dunia atapewa thawabu.+ Basi mwovu na mtenda-dhambi watapewa thawabu hata zaidi!+