18 Walipoanza kushuka kumwendea, Elisha akaendelea kusali kwa Yehova na kusema: “Tafadhali, lipige taifa hili kwa upofu.”+ Basi yeye akawapiga kwa upofu kulingana na neno la Elisha.
11 Hivyo, basi, tazama! mkono wa Yehova uko juu yako wewe, nawe utakuwa kipofu, usiweze kuiona nuru ya jua kwa kipindi fulani.” Mara moja ukungu mzito na giza vikamwangukia, naye akazunguka akitafuta watu wa kumwongoza wakiwa wamemshika mkono.+