11 Lakini wakawapiga kwa upofu wanaume waliokuwa kwenye mwingilio wa nyumba,+ kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi,+ hata wakawa wanajichosha wakijaribu kuutafuta mwingilio.+
10 Tunaendelea kupapasa tukiutafuta ukuta kama vipofu, nasi tunaendelea kupapasa kama wale wasio na macho.+ Tumejikwaa katikati ya mchana kama katika giza la jioni; kati ya wenye nguvu sisi ni kama wafu tu.+
39 Na Yesu akasema: “Kwa ajili ya hukumu+ hii mimi nilikuja katika ulimwengu huu: ili wale ambao hawaoni+ wapate kuona na wale wanaoona wapate kuwa vipofu.”+