Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini wakawapiga kwa upofu wanaume waliokuwa kwenye mwingilio wa nyumba,+ kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi,+ hata wakawa wanajichosha wakijaribu kuutafuta mwingilio.+

  • Methali 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Njia ya waovu ni kama giza;+ hawajui ni nini kinachoendelea kuwakwaza.+

  • Isaya 59:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tunaendelea kupapasa tukiutafuta ukuta kama vipofu, nasi tunaendelea kupapasa kama wale wasio na macho.+ Tumejikwaa katikati ya mchana kama katika giza la jioni; kati ya wenye nguvu sisi ni kama wafu tu.+

  • Yohana 9:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na Yesu akasema: “Kwa ajili ya hukumu+ hii mimi nilikuja katika ulimwengu huu: ili wale ambao hawaoni+ wapate kuona na wale wanaoona wapate kuwa vipofu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki