2 Wafalme 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, yeye akasema: “Kama Yehova anavyoishi+ ambaye nimesimama mbele zake, sitaipokea.”+ Naye akaanza kumsihi aipokee, lakini akazidi kukataa. Zaburi 139:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Je, mimi siwachukii wale wanaokuchukia vikali, Ee Yehova,+Na je, sichukizwi na wale wanaokuasi?+
16 Hata hivyo, yeye akasema: “Kama Yehova anavyoishi+ ambaye nimesimama mbele zake, sitaipokea.”+ Naye akaanza kumsihi aipokee, lakini akazidi kukataa.