18 Basi, thawabu yangu ni nini? Kwamba ninapotangaza habari njema niitoe habari njema bila gharama,+ kusudi nisitumie vibaya mamlaka yangu katika habari njema.
9 na bado nilipokuwa pamoja nanyi na nikapatwa na uhitaji, sikuwa mzigo kwa mtu hata mmoja,+ kwa maana ndugu waliotoka Makedonia+ walijazia kwa wingi upungufu wangu. Ndiyo, katika kila njia nilikaa mwenyewe bila kuwa mzigo kwenu nami nitakaa hivyo.+
17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+