Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ponyeni wagonjwa,+ fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, fukuzeni roho waovu. Mlipokea bure, toeni bure.+

  • 1 Wakorintho 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi, thawabu yangu ni nini? Kwamba ninapotangaza habari njema niitoe habari njema bila gharama,+ kusudi nisitumie vibaya mamlaka yangu katika habari njema.

  • 2 Wakorintho 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na bado nilipokuwa pamoja nanyi na nikapatwa na uhitaji, sikuwa mzigo kwa mtu hata mmoja,+ kwa maana ndugu waliotoka Makedonia+ walijazia kwa wingi upungufu wangu. Ndiyo, katika kila njia nilikaa mwenyewe bila kuwa mzigo kwenu nami nitakaa hivyo.+

  • Ufunuo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki