2 Wafalme 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo akasema: “Acheni apumzike.+ Yeyote asiisumbue mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na mifupa ya yule nabii+ aliyetoka katika Samaria. Waebrania 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa imani Yosefu, akikaribia mwisho wake, alitaja kuhusu kule kutoka+ kwa wana wa Israeli; naye akatoa amri kuhusu mifupa yake.+
18 Kwa hiyo akasema: “Acheni apumzike.+ Yeyote asiisumbue mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na mifupa ya yule nabii+ aliyetoka katika Samaria.
22 Kwa imani Yosefu, akikaribia mwisho wake, alitaja kuhusu kule kutoka+ kwa wana wa Israeli; naye akatoa amri kuhusu mifupa yake.+