10 Basi wakatoka hapo wakaenda kwenye kilima, na tazama, kulikuwa na kikundi cha manabii kikija kumpokea; ndipo mara moja roho ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akaanza kusema kama nabii+ katikati yao.
2 “Mwana wa binadamu, toa unabii kuwahusu manabii wa Israeli wanaotoa unabii,+ nawe utawaambia wale wanaotoa unabii kutoka moyoni mwao wenyewe,+ ‘Sikieni neno la Yehova.+