5 “Yehova amesema hivi juu ya manabii ambao wanawapoteza watu wangu,+ ambao wanauma kwa meno yao+ na ambao hupaaza sauti, ‘Amani!’+ ambao, mtu yeyote asipoweka kitu vinywani mwao, pia hutakasa vita juu yake,+
2Hata hivyo, kulikuwa pia na manabii wa uwongo katikati ya wale watu, kama vile pia kutakavyokuwa na walimu wa uwongo katikati yenu.+ Hawa wataingiza ndani kimya-kimya madhehebu yenye kuharibu nao watamkana hata yule bwana aliyewanunua,+ wakijiletea wenyewe maangamizi ya haraka.