Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na je, mtanitia unajisi mimi kuelekea watu wangu kwa ajili ya makonzi ya shayiri na kwa ajili ya vipande vya mkate,+ ili kuziua nafsi zisizopaswa kufa+ na ili kuzihifadhi hai nafsi zisizopaswa kuishi kwa uwongo wenu mnaowaambia watu wangu, wanaousikia uwongo?” ’+

  • Ezekieli 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii, nawe uwaambie hao wachungaji, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Ole wao wachungaji wa Israeli,+ ambao wamekuwa watu wanaojilisha wenyewe!+ Je, wachungaji hawapaswi kulisha kundi?+

  • Mathayo 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.

  • Waroma 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki