Ezekieli 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, mtanitia unajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya makonzi ya shayiri na kwa ajili ya makombo ya mkate,+ mkiwaua watu wasiostahili kufa na kuwaacha hai watu wasiostahili kuishi, kwa kuwadanganya watu wangu, wanaosikiliza uwongo wenu?”’+
19 Je, mtanitia unajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya makonzi ya shayiri na kwa ajili ya makombo ya mkate,+ mkiwaua watu wasiostahili kufa na kuwaacha hai watu wasiostahili kuishi, kwa kuwadanganya watu wangu, wanaosikiliza uwongo wenu?”’+