19 Na je, mtanitia unajisi mimi kuelekea watu wangu kwa ajili ya makonzi ya shayiri na kwa ajili ya vipande vya mkate,+ ili kuziua nafsi zisizopaswa kufa+ na ili kuzihifadhi hai nafsi zisizopaswa kuishi kwa uwongo wenu mnaowaambia watu wangu, wanaousikia uwongo?” ’+