Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+ Yohana 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, walipokuwa wamepata kiamsha-kinywa, Yesu akamwambia Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?”+ Akamwambia: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.”+ Akamwambia: “Lisha wana-kondoo wangu.”+
11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
15 Basi, walipokuwa wamepata kiamsha-kinywa, Yesu akamwambia Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?”+ Akamwambia: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.”+ Akamwambia: “Lisha wana-kondoo wangu.”+