Zaburi 55:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa sababu ya sauti ya adui, kwa sababu ya mkazo wa yule mwovu.+Kwa maana wanaendelea kuniangushia mambo yenye kuumiza,+Na kwa hasira wanadumisha uadui juu yangu.+ Zaburi 120:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nasimama kwa ajili ya amani;+ lakini ninaposema,Wao wanataka vita.+ Zaburi 140:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wale ambao wamepanga mambo mabaya moyoni mwao,+Ambao mchana kutwa wanaendelea kushambulia kama katika vita.+
3 Kwa sababu ya sauti ya adui, kwa sababu ya mkazo wa yule mwovu.+Kwa maana wanaendelea kuniangushia mambo yenye kuumiza,+Na kwa hasira wanadumisha uadui juu yangu.+
2 Wale ambao wamepanga mambo mabaya moyoni mwao,+Ambao mchana kutwa wanaendelea kushambulia kama katika vita.+