36 Kwa hiyo akamwambia: “Kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova, tazama, unaondoka kwangu, na hakika simba atakupiga na kukuua.” Kisha akaondoka kando yake, na simba+ akamkuta, akampiga na kumuua.+
19 kama vile tu mtu anavyomkimbia simba, kisha dubu anakutana naye; na kama vile alivyoingia ndani ya nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, naye nyoka akamuuma.+